Moshi mweupe ukiashiria kupatikana kwa papa mpya
Waumini wa kanisa Katoliki duniani wamepata kiongozi mpya Baada ya
makadinali kukutana katika kikao cha siri na kufanikiwa kumchagua Pope
mpya CARDINAL JORGE MARIO BERGOGLIO (umri miaka 76) wa Argentina.
Umati wa maelfu ya waumini wa madhehebu ya Kikatoliki wamekusanyika katika uwanja wa St.Peter's Square huko Rome wakishangilia baada ya kuona moshi mweupe ukifuka juu kuonyesha ishara ya kuwa Makadinali wamemchagua Papa mpya. Dakika chache baadaye akajitokeza.
Katika wadhifa huo atajulikana kama Papa Francis.
Yeye ni Papa wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini.
Umati wa maelfu ya waumini wa madhehebu ya Kikatoliki wamekusanyika katika uwanja wa St.Peter's Square huko Rome wakishangilia baada ya kuona moshi mweupe ukifuka juu kuonyesha ishara ya kuwa Makadinali wamemchagua Papa mpya. Dakika chache baadaye akajitokeza.
Katika wadhifa huo atajulikana kama Papa Francis.
Yeye ni Papa wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini.

