MVUA ZAANZA KUHARIBU BARABARA YA MAKETE - IVALALILA, MAGARI YAKWAMA

Gari la kampuni ya Pepsi lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Makete likiwa limekwama kwenye kijiji cha Ivalalila tangu jana saa saba mchana kutokana na barabara kuharibika kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo
 Iliwalazimu kushusha soda walizokuwa wamepakia kwenye gari lao lakini bado ilishindikana
 Ilikuwa balaaa
Hadi naondoka eneo hilo majira ya saa moja na nusu asubuhi lori hilo lilikuwa halijafanikiwa kuondoka


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo