WAZIRI NCHIMBI AZUNGUMZIA KIFO CHA PADRE MUSHI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya  Nchini Dr Emmanuel Nchimbi akitoka chumba cha habari cha  makao makuu ya jeshi la polisi kilimani zanzibar baada ya kuongea na Waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari leo asubuhi kufwatia tukio la kupigwa risasi leo asubuhi Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi na kufariki dunia,Padri Evarist Mushi alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya  Nchini Dr Emmanuel Nchimbi akizungumza na Waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari leo asubuhi katika ukumbi wa makao makuu ya jeshi la polisi kilimani zanzibar kutoka na tukio la kupigwa risasi leo asubuhi kwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi na kufariki dunia,Padri Evarist Mushi alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar
Sehemu ya Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar wakimsikiliza kwa Makini Waziri wa mambo ya ndani ya nchini Dr Emmanuel nchimbo(hayupo picha)alipokua akitoa taarifa ya serikali kufwatia kupigwa risasi leo asubuhi kwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Miwili Zanzibar, Evarist Mushi na kufariki dunia,Padri Evarist Mushi alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa njiani anaenda kuendesha misa katika Kanisa la Mt.Theresia eneo la Mtoni Zanzibar


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo