PICHA ZA TUKIO LA BUNGE KUVURUGIKA HII LEO

Picture

Picture
Picture
Wabunge wa upinzani wakiwa wamesimama wote kwa pamoja kupinga hoja Bungeni
Picture
Naibu Spika Bunge,Mh. Job Ndugai (kulia) akionyeshwa makabrasha na Mbunge wa Arumeru Mashariki,Mh. Joshua Nassari muda mfui baada ya kuahurishwa kwa kikao cha Bunge leo.
Picture
Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Mh. Tundu Lissu (kulia} akijadiliana jambo na Naibu Spika wa Bunge,Mh. Job Ndugai nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.Wengine ni Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Mh. Joshua Nassari na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Msigwa. (picha na Mwanakombo Jumaa - Maelezo.)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo