MSANII BUIBUI APATA AJALI MBAYA, TAZAMA PICHA

  Buibui amepata ajali ya pikipiki na kuvunjika miguu kwa sasa amelazwa katika wodi ya kibasila pale hospitali ya taifa muhimbili......''TUMUOMBEE APONE HARAKA''na pia tutoe sapoti ya msanii mwezetu ili aweze kupata unafuu mapema


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo