MKUU WA MKOA WA PWANI AKEMEA VITENDO VYA WIZI WA ALAMA ZA BARABARANI

 
Mkuu wa mkoa wa Pwani Mwantumu Bakari Mahiza ameamuru viongozi wa kata na vijiji kulinda alama za barabarani ambazo huaribiwa kwa makusudi na nyingine kuibiwa hali inayochangia ongezeko la ajali za barabarani mkoani humo

Mkuu huyo wa mkoa amesema hayo katika kikao na TANROADS mkoa wa Pwani na kusema uharibifu huo unaofanywa kwa alama za barabarani hasa kwenye maeneo yanayoongozwa na viongozi hao wa vijiji na kata na wao kukaa kimya ni kutoitendea haki serikali



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo