HIVI HAWA VIJANA WAKIUMIA WATAMLAUMU NANI?

 
Picha hizi zinawaonesha vijana wawili ambao niliwakuta wakiwa wamening'inia kwenye lori ambalo limepakia katapila, eneo la Kimara barabara ya Morogoro! Vijana hao wanaendelea kupiga stori bila kuhofia madhara yatakayoweza kuwapata kutokana na kuning'inia kwenye lori hilo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo