ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CCM HUKO SONGEA AFARIKI DUNIA


 Waombolezaji wakielekea makaburini kumzika aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Songea Mohamed Dizumba Mazishi yamefanyika katika viwanja vya Luhira Songea.huku mvua kali ikinyesha
 Meya wa Manispaa ya Songea Charles Mhagama  baada ya kukesha usiku kucha katika kuandaa mazishi ya aliye kuwa mwenyekiti wa CCM Ahamed Didhumba hapo uzalendo umemshinda ana chapa usingizi
 Mkuu wa Wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti akiwa katika eneo la Mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Songea
 Mamia ya waombolezaji wakiwa katika Mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Songea
 Waziri wa Mambo ya ndani Dr Emanuel JohnNchimbi akiwa eneo la Luhilama kaburini aliyesimama naye ni Katibu wa Mbunge jimbo la Songea Andew Chatwanga
 Viongozi mbalimbali wa chama na serikali waliohudhuria mazishi ya Ahamed Dhizumba aliye kuwa mwenyekiti mstahafu wa CCM Wilaya ya Songea
Mwili wa Marehemu Ahamedi Didhumba Ukiteremshwa kaburini maeneo ya Luhila manispaa ya Songea

 VIA http://songeahabari.blogspot.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo