WATOTO WATANO WALIOKWENDA INDIA KWA MATIBABU YA MOYO WAREJEA

Watoto watano kati ya 38 waliokwenda nchini India kupatiwa matibabu ya moyo wamerejea nchini wakiwa na afya njema huku wazazi na Walezi wao wakiitaka serikali kufanya jitihada za kupata huduma hiyo hapa nchini na kwa gaharama nafuu. 
Wakizungumza katika uwanja wa ndege wa mwalimu nyerere baadhi ya wazazi wameshukurukwa msaada huo huku mwenyekiti wa hospitali ya Regency Dk Rajni Kanabar ambayo imehusika kusafirisha watoto hao akielezea hali za watoto waliobaki nchini India


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo