TASWIRA YA BUNGENI DODOMA HII LEO

 Baadhi ya wabunge wakifuatilia maswali na majibu katika kikao cha mkutano wa kumi mjini Dodoma leo.
Mbunge wa( Monduli )Edward Lowassa (kulia) akimsikilza Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo, katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo,
  Naibu Waziri  Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia , January Makamba, akijibu hoja za wabunge zinazohusu wizara yake Bungeni mjini Dodoma leo.
  Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (kulia)  na Mbunge wa kuteuliwa (NCCR- MAGEUZI) James Mbatia, wakifuatilia masuala mbalimbali Bungeni leo mjini Dodoma.
 Baadhi ya wabunge wakisalimiana baada ya kuahirishwa  kwa kikao cha Bunge leo mjini Dodoma.Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo