STENDI YA MABASI NJOMBE HIZI TOPE HADI LINI JAMANI?

Hali ya matope ilivyo katika stendi ya mabasi mkoani Njombe licha ya ushuru kukusanywa kila siku, hii hali imekuwa ikishangaza wengi kwa kuwa moja ya kazi ya ushuru unaokusanywa stendi hapo ni kuboresha stendi hiyo lakini wakati wa masika kama sasa hali huwa hivi, jamani hii hali hadi lini?



Hili eneo limeachwa wazi, magari yaeokwepa 'kupaki' kwenye eneo hilo kutokana na kujaa tope


Hali hiyo ya matope siku moja huenda ikasababisha magari kuonekana kama hili hapa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo