skip to main |
skip to sidebar
POLISI WAKAMATA VIROBA 202 VYA MADAWA YA KULEVYA
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Liberatus
Sabas akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukamata madawa ya
kulevya aina ya Mirungi viroba 202 katika eneo la Engikareti lililopo
wilayani Longido Mkoa wa Arusha.
Baadhi
wa askari wa jeshi la polisi wakiharibu madawa ya kulevya aina ya
mirungi kwa kuikata kata na kisha kuimwagia mafuta. Mirungi hiyo
ilikamatwa katika eneo la Engikareti lililopo katika wilaya ya Longido
Mkoani Arusha.(Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi