Jamaa huyu alimnyanyua juu kibaka huyo kishia kumtupa chini
Wanachi hao wakimgombea kibaka huyo kama mpira wa kona
mkong'oto ukishika kasi
Kibaka huyo akiendela kupokea kichapo kutoka kwa wnanachi hao wenye hasira
Jamaa mwenye kofia akimpiga kibaka huyo na kitu chenye ncha kali
Mwananchi huyu mwenye kofia aliamua kuingilia kati na kumuokoa kibaka huyo asiendele kupokea mkong'oto kutoka kwa wananachi hao
Msamaria
mwema huyo aliondoka na kibaka huyo baada ya kufanikiwa kumpora kwenye
kundi kubwa la wananchi ambao walikuwa na dhamira ya kutoa roho ya
kibaka huyo.
KIJANA
mmoja anayesadikiwa kuwa ni kibaka mchana huu amenusulika kifo baada ya
kupokea kicha kikali kutoka kwa wnanachi wenye hasira wakimshutumu
kuiba watoto wadogo na kwenda nao mto Morogoro eneo la daraja la Shani
na kuwafanyia vitendo vya kihuni.
Akizungumza
na Mtandao huu mmoja wa wananchi hao aliyejitambulisha kwa jina la Juma
Athuman alidai kwamba kijana huyo anakawaida ya kuwateka watoto wadogo
hasa wa shule na kuwapeleka chini ya daraja hilo na kuwafanyia vitendo
vya kihuni.
" kwa kipindi kirefu tulikuwa tukimsaka kibaka huyu ambaye anatabia ya kuwateka watoto wa dogo na kuwapeleka mto wa Morogoro chini ya daraja la Shani muda huu tumemfuma akiwa chini ya daraja hilo ma mtoto mdogo ndipo tulipomfulumusha na kumkata eneo hili la kituo cha mafuta jirani na daraja hili la Shani"alisema Bw Athuman..
" kwa kipindi kirefu tulikuwa tukimsaka kibaka huyu ambaye anatabia ya kuwateka watoto wa dogo na kuwapeleka mto wa Morogoro chini ya daraja la Shani muda huu tumemfuma akiwa chini ya daraja hilo ma mtoto mdogo ndipo tulipomfulumusha na kumkata eneo hili la kituo cha mafuta jirani na daraja hili la Shani"alisema Bw Athuman..
Katika
hatu nyingine mwananchi mmoja alijitosa na kumnyakua kibaka huyo kutoka
mikononi mwa kundi la wananchi hao na kumpeleka kituo kikuu cha polisi
kilichopo jirani na eneo hilo la Shani Snem