| Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza kwenye mpambano huo. |
Kamanda wa polisi mkoa wa Kipolisi wa kinondoni Charles Kenyela akimvisha mkanda wa ubingwa wa Afrika Mashariki bondia Thomas Mashali baada ya kumpiga Bernad Mackoliech wa Kenya kwa K,O Raundi ya 6. |
| Chezea ndonga weweeeeee! |