MH TEMBA AIBIWA TENA VIFAA VYA GARI


Ikiwa imepita miezi miwili tu tangu wezi waifanyie kitu mbaya gari ya Mheshimiwa Temba aina ya Verossa, kwa mara nyingine tena wezi wameiba vifaa vya gari lake.

Taarifa hiyo imetolewa na leo na Chege kupitia Twitter ambaye ameandika:

Wazee wa power window mtuhurumie!watu hata bila huruma wamemuibia tena vitu vya gari temba,lkn mwisho wa mchezo huu hautokua mzuri ni lawama.

Mwishoni mwa mwaka uliopita watu wasiojulikana waliiba vifaa vya gari lake wakati lilipokuwa limeegeshwa nyumbani kwake.

Vifaa vilivyoibiwa katika tukio la kwanza ni pamoja na power window, side mirror zote taa za nyuma, radio leseni hadi madaftari yake ya shule.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo