MATAYARISHO SHEREHE ZA MIAKA 49 YA MAPINDUZI ZANZIBAR YAMEKAMILIKA.

Kamanda wa Brigedia nyuki Brigedia General Sharif Sheikh akiwa pamoja na Balozi Seif wakifurahia mwenendo mzima wa matayarisho ya gwaride  la Vikosi vya Ulinzi yaliyokuwa yakifanyika katika uwanja wa amani mjini Zanzibara leo ambapo kesho ni kilele cha maadhimisho ya miaka 49 ya mapinduzi ya Zanzibar.
Msanii wa Kikundi cha ngoma za Utamaduni cha Hiari ya Moyo kutoka Mkoani Dodoma akipasha moto misuli kujiandaa na utoaji burdani kwenye sherehe za maaadhimisho ya kutimiza miaka 49 ya mapinduzi ya Zanzibar zitakazofikia kilele chake januari 12, 2013.
Kikosi Maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ ) Kikionesha umahiri wake ndani ya Uwanja wa amani wakijiandaa na sherehe za maapinduzi Jumamosi Januri 12, 2013.
Kmanda wa Brigedi ya nyuki Brigedia General Sharif Sheikh akitoa tathmini ya  matayarisho ya gwaride la Vikosi vya ulinzi litakalofanyika hapo kesho kwenye uwanja wa amani Mjini Zanzibar.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo