HALI ILIVYO NYUMBANI KWA MSANII OMAR OMAR BAADA YA KIFO KUMCHUKUA


Ndugu na jamaa wakiwa na majonzi msibani kwa marehemu Omar Omar, Temeke-Mikoroshini jijini Dar.
Marehemu Omar Omar enzi za uhai wake.
Dada wa marehemu (hakufahamika jina lake mara moja) akiwasiliana na ndugu wengine ambao hawapo msibani.
Mwanamuziki wa kizazi kipya, Dully Sykes, mwenye T-shirt  ya mistari (nyuma katikati) akibadilishana mawazo na wazee msibani hapo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo