BRITISH AIRWAYS YAFUNGA VIRAGO TANZANIA



BAADA YA KUWA TANZANIA KWA KIPINDI CHA MIAKA 82, TOKA ENZI ZA BOAC, SHIRIKA LA NDEGE LA UINGEREZA YAANI BRITISH AIRWAYS LIMEAMUA KUITOSA RASMI TANZANIA,GLOBU YA JAMII INAWEZA KUTHIBITISHA!

HABARI ZA UHAKIKA TOKA JIKONI ZINASEMA NDEGE YA MWISHO YA BRITISH AIRWAYS KUTUA TANZANIA ITAKUWA MACHI 29, 2013 WAKATI BOEING 767 YA SHIRIKA HILO AMBAYO NI KIJEBA (ZINAZOKUJA HUKU ZINA UMRI ZAIDI YA MIAKA 20) ITATUA KWA MARA YA MWISHO.

NA KWA HUZUNI KUBWA KWA WADAU WAKE, OFISI ZA BRITISH AIRWAYS PALE SERENA INN JIJINI DAR ES SALAAM ZITAPIGWA KUFULI RASMI MACHI 31, 2013


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo