WANANCHI MTWARA WAFANYA MAANDAMANO MAKUBWA KUPINGA GESI KUSAFIRISHWA KWENDA DAR

 Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Mtwara Mjini wakiwa kwenye maandamano makubwa waliyoyafanya mapema leo kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!
 
 Wakazi hao wakiwa na mabango yao yenye jumbe mbalimbali kama uonavyo pichani
 
 Waandamanaji wakiwa wamekusanyika kwenye moja ya uwanja mjni Mtwara mapema leo wakipinga gesi kusafirishwa kwenda jijini Dar! 

  Mmoja wa wakazi wa mji wa Mtwara mjini akiwa amebeba bango lake
Baadhi ya askari wakiwa kwenye gari yao wakiangalia usalama wa hapa na pale kufuati maandamano makubwa yalliyofanya na wakazi wa Mkoa wa Mtwara, mapema leo wakipinga gesi kusafirishwa kwenda jijini Dar!
SOURCE: JIACHIE


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo