MAKABURI YA MAHABUSU YAGEUZWA DAMPO HUKO MBEYA


Hii ndiyo hali halisi ya makaburi walimozikwa mahabusu zaidi ya 16 waliokufa kwa kukosa hewa Mbarali mwaka 2002 na kuzikwa Mbeya katika makaburi ya isanga

Makaburi yayo sasa yamegeuzwa kuwa dampo la takataka huku wahusika wakiangalia bila ya kuchukua hatua yeyote

Kwa ujumla haya ndiyo makaburi ya mahabusu zaidi ya 16 kwa sasa wala hayaonekani kabisa


Hili ni eneo la makaburi ya isanga na ndipo yapo makaburi ya mahabusu waliozikwa hapo mwaka 2002

Picha na Mbeya yetu



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo