HUYU NDIYE MSANII WA FILAMU KUTOKA NIGERIA ALIYEAGA DUNIA

Mwigizaji maarufu nchini Nigeria Pichani anayejulikana kwa jina la Enebeli Elebuwa amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo huko India ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
Marehemu enzi za uhai wake.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo