HILI NDILO 'HEKALU' JIPYA LA MHE. DR. GERTRUDE P. RWAKATARE.LILILOPO MBEZI BEACH.

Mchungaji Kiongozi wa Mikocheni b,Dr Rwakatare siku ya Jumapili alikuwa akifanya uzinduzi wa Nyumba yake mpya iliyoko Mbezi beach pembezoni mwa Bahari ya hindi.Uzinduzi huu ulikuwa wakadi maalumu kwa baadhi ya washirika wake na marafiki wa karibu na familia hii.Sherehe ya uzinduzi huu ilipambwa na Mc na Mtangazaji wa Clouds Fm Harris Kapiga.
 
Endelea kutazama picha zaidi
 
 
                  Akiwakaribisha wageni kuona uzuri wa nyumba yake.
                           Chumbani sehemu ya kujipamba.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo