DKT SLAA KUGOMBEA TENA URAIS 2015

 Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe Akiunguruma Karatu
 Mbunge wa Arumeru Mashariki-CHADEMA,Joshua Nasari akiunguruma Karatu jana mbele ya Umati Mkubwa
Sehemu ya Umati mkubwa wa Wana Chadema Karatu wakiwa kwenye mkutano wa hadhara jana
--
CHAMA  cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),kimetangaza kuwa Katibu Mkuu wake, Dk Willbrod Slaa atapewa fursa ya kuwania nafasi ya Urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, mwaka 2015.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alitangaza hatua hiyo jana,alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Mpira,mjini Karatu mkoani Arusha, huku yeye akijiweka kando kuwania nafasi hiyo.
Hata hivyo,Dk Slaa mwenyewe alipoulizwa iwapo ana nia ya kugombea urais mwaka 2015, alisema: “Kwani mwaka 2010 nilijitangaza mwenyewe?,Iwapo wanachama wa Chadema watanipendekeza, nitafikiria kufanya hivyo.”Kwa Habari zaidi Bofya na Endelea......>>>>>


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo