BARAZA LA WAZEE WA CCM WILAYANI MAKETE KUZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MCHANA HUU


Wazee wa chama cha mapinduzi (CCM) wilayani Makete Mkoani Njombe wanatarajia kuzungumza na waandishi wa habari mchana huu katika ofisi za chama hicho wilaya

Akizungumza na mtandao huu Katibu wa CCM wilaya ya Makete Miraji Mtaturu amesema wazee hao walikuwa na kikao chao cha ndani na hivyo wanataka kuutangazia umma kile kilichojiri

Taarifa zaidi endelea kuufuatilia mtandao huu!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo