AJALI YA BASI LA SUMRY MLIMA KITONGA YASABABISHA HADI MUDA HUU MABASI KUTOKA DAR-IRINGA HAYAJAFIKA

Mdau Herman Berege leo amekutana na ajali hii iliyotokea katika kona za mlima wa Kitonga mkoani Iringa,iliyokutanisha lori hili linaloonekana na Basi la Abiria la Kampuni ya Sumry.kwa mujibu wa mashuhuda inasemekana Lorry hilo lili 'fail brake' na kuliparamia basi la Sumry ambalo lilikuwa likipandisha mlima huo,likiwa safarini kwenda Songea.

Ajali hii imetokea jana mchana na haijafahamika ni watu wangapi wamepoteza maisha katika ajali hiyo.

Basi la Sumry lionekanavyo baada ya kutokea kwa ajali hiyo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo