DAUDI MWANGOSI AZIKWA HII LEO


Waandishi wa Habari wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu kuelekea Makaburini
Wakiwa wanafanya ibada ya Mwisho kabla ya kuanza maziko
Hapa wakiwa wanashusha mwili wa marehemu katika Nyumba yake ya milele
Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa Tayari katika Kaburi
Shughuri za kuzika zimeanza
 
Mazishi yanaendelea
 
Mke wa Marehemu Daudi Mwangosi akiweka Shada la Mauwa kwa machungu
Mke wa Daudi Mwangosi, Itika Mwangosi akiwa analia kwa uchungu katika Kaburi la Marehemu Mumewe
Watoto wa Marehemu wakiwawanaweka mashada ya maua sasa
Ni ngumu sana Kuamini kwa mke wa Marehemu lakini hali ndivyo ilivyo kuwa akiwa na huzuni kubwa
Dk. Slaa akiweka Shada la Mauwa
Dk. Slaa Baada ya kumaliza kutoa heshima za mwisho
Mh. Mark Mwandosya akiweka Taji la maua pamoja na mke wake
Rais wa UTPC akiweka shada la Maua
Ndugu wa Marehemu akiweka shada la Maua
Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua
Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu, Ndugu Joseph Mwaisango akiwa anatoa heshima zake za Mwisho katiaka Kaburi
Wananchi wakiwa wanarejea baada ya mazishi
Waandishi wa Habari wakichukua Tukio Live
Na huu Ndio Mwisho wa tukio zima la Mazishi ya Ndugu yetu, Mwanaharakati, Mpiganaji Daudi Mwangosi aliyekuwa Mwandishi wa Chanel 10.
Mke wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Channel Ten, Itika Mwangosi akiaga mwili wa mumewe marehemu Daud Mwangosi wakati wa ibada ya mazishi.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA MBEYA YETU BLOG


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo