Kenneth
Ngelesi na Angelika Sullusi, Mbeya
HALMASHAURI
ya Jiji la Mbeya, kupitia Baraza la Madiwani limewafukuza kazi
watendaji nane,na kuwapo omnyo kali ilkiwa na kushuhwa dara kwa baadhi ya
watumishi wakiwemo watumishi
watatu wa Idara ya Uhasibu kwa tuhuma za kujipatia fedha isiyo
halali kiasi cha zaidi ya shilingi mil 35 ikiwa mishara hewa.
Hatua ya
kuwa timu kazi kazi watushi hai ilifikiwa jana na baraza hilo ktika
kamati kuu kuu ya Baraza hilo Ambapo watumishi hao wanatuhumiwa kuiba fedha
ambazo fedha za mishahara ya watumishi ambao hawakustahili kulipwa fedha
hizo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kustaafu, kuacha au
kuachishwa kazi pamoja na kufariki na hivyo fedha hizo zilitakiwa
kurejeshwa hazina.
Katika
kashfa hiyo inawajhusisha Sarah Kibona Mhasibu mwandamizi,Tito Robart
Mwakisole Mhasibu daraja la kwanza pamoja na Petro Ulamso Yohana
ambaye ni mlinzi amabaye akaunt yake ilituymika kupitishia fedha hizo katoka
bank ya NMB tawi la Mbalizi Roads .
Tamko la kufukwa
kazi kwa watendaji hao lilitolewa na, Meya wa Jiji la Mbeya Athanasi
Kapunga, kwenye kikao cha Baraza la Madiwani mara baada ya kukaa kama
Kamati ya kuwajadili watumishi hao ambapo Meya huyo alisema baraza
limepekeza kufukzwa kazi na wengini kupoewa onyo.
Alisema,
Sara Kibona pamoja na Tito Robert wanakabiliwa na shitaka (kanuni 42)
kujipatia fedha isiyo halali (wizi)kiasi cha sh. 35,328,314.
na shitaka la pili kwa mujibu wa (kanuni ya 42) kushindwa kutimiza wajibu
au kutekeleza maelekezo aliyopewa na mwajiri wake wa kazi na hivyo
kusababisha hasara ya kiasi hicho cha fedha.
Alisema,
watuhumiwa wote wanadaiwa kutumia fursa ya cheo chao kwa kushirikiana na
mtumishi wa Benki ya NMB kuiba fedha za mishahara ya watumishi
wasiostahili kulipwa kwa kuingiza mishahara hiyo kwenye akaunti za watu
mbalimbali pamoja na za kwao wenyewe.
Aidha,
Meya huyo alisema kuhusu mlinzi Petro Ulamso yeye akaunti yake inadaiwa
kutumiwa na wahasibu hao kwa kuingiziwa fedha shilingi milioni 3,875,350
ambazo ni mali ya mwajiri.
Alisema,
pia mlinzi huyo anakabiliwa na shitaka la pili la kushindwa kutimiza
wajibu akiwa kama mlinzi wa halmashauri ya Jiji la Mbeya na kushindwa
kutoa taarifa ya kuingizwa kwa kiasi hicho cha fedha isivyo halali kwa
mwajiri ili zirejeshwe serikalini.
Mbali na
watushi hao afisa mwingile aliye fukuzwa kazi ni Joseph Ndaki kwa tuhuma
za kughushi taarifa za uthamini wa ardhi kwa ajili Tasisisi ya Sayansi na
Teknologigia (MIST) katika eneo la Ikuti na Inyala na kuidanganya serikali kwa kusudio la
kujipatia fedha bil 5,111,164,373 kwa manufaa yake.
Alisema,
Ndaki alikuza eneo la uthamini pasipo uhalali na kwamba hekta 72 ndizo
alipaswa kuzifanyia kazi lakini yeye aliingiza hekta 190 kwa maslahi yake
mwenyewe na hivyo baraza limependekeza afukuzwe kazi.
Hata
hivyo, katika hatua nyingine Baraza hilo limependekeza kufukuzwa
kazi kwa Afisa mtendaji wa kata ya Ilemi kwa wizi wa shilingi milioni
1.5. pamoja na afisa mtendaji wa Mtaa ya Ilindi kwa kuhusika na wizi wa
milioni 1.5 kwa kudaiwa kutumia bila ridhaa ya kamati fedha za miradi
ya maendeleo.
Aidha
katika hatua nyingine baraza hilo limemshusha daraja afisa mten adji wa
kata ya Iziwa kwa tuhumna za mwenendo mzuri akatika kazi ikiwa ni pamoja
na ulevi na utoro kazini na kumta onyo afisa mtenadaji kata Mbalizi Road