(M). Muungano kwetu basi, Tumechoka taabani.
(U). Uvunjike katikati. Sote hatuutamani.
(U). Ukoloni wa mweusi, Umetufika rohoni.
(N). Nasi tuongeze kasi, Kuuchukia moyoni.
(G). Geuka ewe raisi, Nchi yetu tuihami.
(A). Allaah atupe wepesi, Tuuzike kaburini.
(N). Neema walofilisi, Zirudi kama zamani.
(O). Omba kwa wetu Qudusi, Tuitikie Amini.