Wasimamizi mitihani darasa la saba 2011 watuhumiwa wa kwanza udangayifu wa mitihani


Na Kenneth Ngelesi, Mbeya

AFISA elimu Mkoa  Mbeya  Juma Kaponda amesema kuwa  watuhumiwa wa kwanza  katika udanganyifu wa mitihani ya darasa la saba  uliotokea mwaka jana waimamizi wa mitihani pamoja na walimu wakuu wa shule husika na kusababisha wanafunzi hao kuihurusiwa kujiunga na kidato cha kwanza wakiwa hawajui kusomo wala kuandika.

Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na R.E.O  huyo jiji hapa kwa mwandishi  wetu alieye fika ofisini kwake kwa lengo la kujua ni hatua gani ambazo ofisi yake imekwisha kuzichukua kwa walimu na wanafunzi walio husuka la udanganyifu katika mitihani ya darasa la saba kwa mwaka 2011 ambapo wana funzi 265 Mkoa wa Mbeya  walijiunga na kidato cha kwanza wakiwa hawajui kusoma wala kuandika.

Alisema kuwa bado Serikri ina fanya uchubguzi ili iweze kujiridhisha na ushaidi kwa ajili ya kuwa chukulia hatua walimu wakuu, wasimamizi  wanafunzi walihusika katika udanganyifu huo.

Kaponda alifafanua zaidi kuwa ktika mitihani hiyo mtuhumiwa wa kwanza atakuwa msimamizi wa mtihani ambao hata hivyo alisema kuwa mwaka huu walimu ambao vituo vyao viliotoa mwanafunzi ambaye hawajui kusoma na kuandika na akachaguliwa kujihunga na kidato cha kwanza hatarusiwa kusimamamia mtihani wa darasa la saba mwaka huu.

Alisema walimu wakuu ambao shule zao zilitoa mnwanafumnzi ambaye hajui kusoma wala kuandika naye atachuliwa hatua kwana kabla ya mwanafunzi hajatakiwa kwenda kuanza kidato cha kwanana kuna kipengele kinacho mtaka mwalimu huyo kuidhinisha kwamba mwana funzi huyo anasoifa kujiunfga kutoiokana maendeleo wa awali akiwa tangu darasa la tano.

‘Ndugu yungu kuna fomu inaitwa TSM9 ambayo inaonyesha maendelea ya mwanafunzi tangu akiwa  darasa la kwanza kwa hiyo kama mwalimu unakuwa unajua maendeleo yake na walimu huwa wanajuwajua wanafunzi wanao fanya vizuri lakini  inasikitisha kuona mwalimu huyo anaidhinisha wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza licha kuwa alikuwa na maendeleo mabovu tangu awali’ alisema Kaponda

Alisema kuwa ofisi yake imejipanga kuhakikisha tatizo hilo halijirudii tena kwa mwaka huu ikiwa ni pamoja na kuwachulia hatua wale wote walio husika katika udanganifua  mitihani ya mwaka jana hata hivyo alibanisha baadhi ya adhari ambzo zinaweza kulikumba taifa kutokana na kuwa peleka wanafunzi wasio na sifa kuijiunga na kidato cha kwanza  wamatatizo ambayo  pamjoja kiumpotezea muda mwanafunzi mwenyewe vkwana ana kuwa amelazimishwa kufanyi kitu ambacho hana sifa ya kukifanya pia matokea mabovu ya kidato cha nne yanatokana na misingi mibovu katika kuwateua wahitimu hao amabo baadaye wana kuwa vibaka na majamabazi.

Akizungumzi tatizo la madasa kwa upande wa shule za sekondari za kata afisa huyoo alisema llimesha pungua kwa asilimia miamoja  na kusema kuwa Mkoa wake kwa sasa unakabiliwa na tatizo la nyumba kwa walimu ambapo mpaka sasa wazo na nguzu zote ni kwa ajili ya nyumba za walimu.

Alisema shule bila walimu ni kazi bure kwani ni vema ukawa na mwalimu anaye ishi katika nyumba nzuri kwani anaweza kufanya kazi ya kufundisha wanafunzi  chini  ya mti na wakaelewa likini kama mwalimu anaishi mazingira magumu na shule ipo mbali mwalimu huyohawezi kufanya kazi vizuri na kumfanya mwanafunzi akafauru vizuri katika mitihani.

‘Mwanafunzi anaweza kufundshiwa chini ya mti ndani ya kanisa hata kilabu cha pombe
kinaweza kutumika kufundishia lakini siyo mazingira hayo kwa ajili ya kuishi mwalimu kwa hiyo nyumba kwa walimu wetu ndo kitu chkwaqmnza lakini siyoi mbaya kwa kuwa tulianza na mdarasa ni vema wana nchi pamoja na serkaru ikiaekeza nguvu zake kujenga nyumba za walimu’alisema Koponda

Katika kashfa ya udanganyifu wa mitihani darasa la saba wa mwaka 2011 Mkoa wa Mbeya umo katika kashifa hiyo kwa kutoa wanafunzi  265 wasio jua kusoma wala kuandina huku  wilaya za Chunya na Kyela zikiongoza kwa mkoa huu.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo