PICHA ZA MAFUNZO KUHUSU MASUALA YA UJINSIA KWA WANAHABARI WA REDIO ZA KIJAMII TANZANIA WILAYANI KYELA

 Washiriki Isdori kutoka Pambazuko Fm na Kulita kutoka Ulanga Fm

 Katibu tawala Kyela John Komba akifungua mafunzo hayo


 Washiriki wakiwa mafunzoni

 Bi Rose Kutoka UNESCO akitoa mafunzo




    Picha ya pamoja ya washiriki wote wa mafunzo hayo

 Studio za redio pekee ya kijamii wilayani Kyela 96.0 Kyela FM


 Washiriki nao walipata wasaa wa kutembelea kituo hicho cha Kyela FM
Huu ni mji wa Kyela


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo