WIMBI la kuondolewa kwa vingozi wa serikali za vijiji
limeendelea kushika kasi katika wilaya ya Rungwe baada ya wanakijiji cha
Ntokela katika kata Isongole wilaya hapa kugoma kujishughulisha na shughulki
zote na maendeeo mpaka uongozi wa kijiji hicho utakapo anjia nafasi zao za
uongozi.
Wananchi hao
wamefikia uamuzi huo baada ya kubaini ubadhilifu wa fedha takribani mil 60 ambazo ni mali ya kijiji hicho ambazo
zimetokana wa mapato ya miradi mbalimbali ikiwemo ushuru wa mashamba ya kijiji
kwa mwaka 2010 hadi 2012.
Wamesema kuywa fedha hizo zimetafunwa na mwenyekiti wa kiji
hicho kwa kushirikiana na wajumbe wa serikari ya kijiji,vitongo wapatao nane
kutoka kijiji hicho kwa kushikian afisa matendaji wa kata hiyo walie mpyta kwa
jina la Charlesi Mwamaso ambaye amesimamishwa kazi na baraza klla madiwani wa
wilaya hiyo katika kikao cha bajewi mwishoni mwa mwezi April
.
Wanacnhi hao wameda kuwa
walishtukia wizi huo wa mamilioni ya fedha baada ya machi 4 mwaka
huu kuulazimisha uongozi wa kijiji hicho kusoma mapato na matumizi baada ya kutofanya hivyo kwamudamrefu na kubaini
kiasi hicho cha shilingi milioni 64.5 kilikuwa kidogo ukilinganisha na vyanzo
vilivyopo.
Mmoja wawananchi hao Christone Tweve ,alisema baada ya kuishtukia taarifa hiyo ya mapato na matumizi walilazimika kuunda tume ya watu 12 ambayo baada ya kufanya uchunguzi ilibaini wizi huo hali iliyochochea wananchi kuamua kususia shughuli za maendeleo.
“Tulimaua kuunda tume hiyo kwa lengo la kujiridhisha na matumiza ya yalifanywa na vingozi hao na hiyo ilifanyika mwezio wa kwanza na ripoti ya tume hiyo ambayo tulicxhanganya waju,mbe kutoka serkari ya kijiji na na rai wa kawaida na ripoti hiyo iliwaslishwa mwezi machi 4 mwaka huu na kubaini madudu hayo ndipo wananchi wakaamua kususia shulizote za maendelkeoa wala kutoa michango, hata kulipa ushuru pamoja na michango mbalimbali kwa ajili ya maendeleo wakishinikiza uongozi mzima wa kijiji kuachia ngazi’ alisema Tweve
Mmoja wawananchi hao Christone Tweve ,alisema baada ya kuishtukia taarifa hiyo ya mapato na matumizi walilazimika kuunda tume ya watu 12 ambayo baada ya kufanya uchunguzi ilibaini wizi huo hali iliyochochea wananchi kuamua kususia shughuli za maendeleo.
“Tulimaua kuunda tume hiyo kwa lengo la kujiridhisha na matumiza ya yalifanywa na vingozi hao na hiyo ilifanyika mwezio wa kwanza na ripoti ya tume hiyo ambayo tulicxhanganya waju,mbe kutoka serkari ya kijiji na na rai wa kawaida na ripoti hiyo iliwaslishwa mwezi machi 4 mwaka huu na kubaini madudu hayo ndipo wananchi wakaamua kususia shulizote za maendelkeoa wala kutoa michango, hata kulipa ushuru pamoja na michango mbalimbali kwa ajili ya maendeleo wakishinikiza uongozi mzima wa kijiji kuachia ngazi’ alisema Tweve
Hata hivyo waandishi wa habari walimua kitafuta mmoja wa wajumbe wa tume hiyo,
aliyejitambulisha kwa jina la Rudwel Mtweve, ambaye alikiri kuhusika na uchunguzi
wa tuhuma hizo za wizi
akiwa kama mjumbe.
Alisema katika mradi wa kukodisha shamba la kijiji lenye ukubwa wa Hekari 57 jumla ya shilingi milioni tatu zimebainika kutafunwa katika msimu wa kilimo wa mwaka 2011 hadi 2012.
akiwa kama mjumbe.
Alisema katika mradi wa kukodisha shamba la kijiji lenye ukubwa wa Hekari 57 jumla ya shilingi milioni tatu zimebainika kutafunwa katika msimu wa kilimo wa mwaka 2011 hadi 2012.
“Unajua katika wilaya yetu ya Rungwe Mungu ametubariki
tunalima mara mbili kwa msimu, ambapo kuanzia Machi hadi Julai huwa tunalima viazi na Augost hadi
Februari huwa ni zamu ya kulima mahindi hivyo kipindi chote shamba hili la kijiji huingiza fedha kutoka kwa
wakodishaji”.
Mtweve alifafanua kuwa katika miezi ya kulima viazi wakulima hukodi shamba hilo kwa kiasi cha shilingi 150,000 kwa Ekari moja na miezi ya kulima mahindi pia kila Ekari hukodishwa kwa shilingi 80,000 katika shamba hilo lenye ukubwa wa Ekari 57.
wakodishaji”.
Mtweve alifafanua kuwa katika miezi ya kulima viazi wakulima hukodi shamba hilo kwa kiasi cha shilingi 150,000 kwa Ekari moja na miezi ya kulima mahindi pia kila Ekari hukodishwa kwa shilingi 80,000 katika shamba hilo lenye ukubwa wa Ekari 57.
Alitajambinu nyingine iliyotumiwa na uongozi huo wa kijiji
kuiba fedha hizo ni kuwa na vitabu vya aina mbili vya kukusanyia ushuru, ambapo kitabu kimoja ni cha halimashauri na kingine kinaonekana kununuliwa kutoka mtaani.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Meckson Mwakipunda, alipoulizwa juu ya sakata hilo kwa njia ya simu yake ya mkononi alikiri kwa uongozi huo kutafuna fedha za ushuru kiasi cha shilingi milioni saba.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Meckson Mwakipunda, alipoulizwa juu ya sakata hilo kwa njia ya simu yake ya mkononi alikiri kwa uongozi huo kutafuna fedha za ushuru kiasi cha shilingi milioni saba.
Alisema
baada ya hali hiyo halmashauri imeanza kuchukua
hatua , ikiwemo kumsimamisha kazi Mwenyekiti huyo Kijiji baada ya
wakaguzi wa ndani kubaini wizi huo,
ampapo alidai mbali na Mwenyekiti huyo pia kuna baadhi ya viongozi wa
kata nao wanaonekana kuhusika na ndiyo maana afisa mtendaji ni moja ya watumishi waliosimamishwa kazi na
baraza adiwani wakati wa kikao cha baget mwezi kwa ubadhilifu wa fedha za uma.
“Ni kweli ndugu wandishi wa habari hayo unayoniuliza nayafahamu kwa kina na hatua ndio hizo tumechukua, lakini kama kumehibuka hilo la kususia shughuli za maendeleonitamtuma Mkurugenzi wangu afike kijijini hapo ili kufikia muafaka” alisema Mwakipunda.
“Ni kweli ndugu wandishi wa habari hayo unayoniuliza nayafahamu kwa kina na hatua ndio hizo tumechukua, lakini kama kumehibuka hilo la kususia shughuli za maendeleonitamtuma Mkurugenzi wangu afike kijijini hapo ili kufikia muafaka” alisema Mwakipunda.
Hatua hiyo ya wana kijijio cha Ntokela imekuja ikiwa ni juma
moja limepita tangu wanachi wa kijiji Ilundo kata ya Kiwila wolyani hapa kuzoba
njia kwa kuweka magogo barabarani kwea kunikisha kuondolewa katika nafasi ya uwenyiki
mwenyekiti wa kijiji hichoi alifahamika kwa jina la Mwangosi na P[olisi
kulazimika kutmia mabomu kuwa tawaya wananchi hao.