OLE WENU MNAOJENGA KARIBU NA FUKWE ZA BAHARI

Serikali imetangaza vita na watu waliojenga kinyume cha sheria katika maeneo ya fukwe zote za bahari chini na kuahidi kuwaondoa hata kama watakwenda mahakamani kupinga hatua hizo.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. ANNA TIBAIJUKA, amesema kwa muda mrefu Serikali imekuwa ikipigia debe jambo hilo na sasa ni kipindi cha utekelezaji ili kuepuka athari za mazingira ambazo tayari zimeanza kuonekana katika baadhi ya maeneo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo