BREAKING NEWS: STEVEN KANUMBA HATUNAE TENA DUNIANI


Habari zilizonifikia now ni kuhusu Bongo Movie Star Steven Kanumba kuwa amefariki dunia usiku huu kwa kudondoka gafla na kukimbizwa hospital ya Mwimbili na mauti yalipomkuta.

Ndugu wanasema baadae asubuhi ndio watatoa taarifa rasmi
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Amen

Source http://djchoka.blogspot.com/


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo