Wananchi wilayani makete wameshauriwa kuendeleza kwa bidii kilimo cha miti

MAKETE
Wananchi wilayani makete wameshauriwa kuendeleza kwa bidii kilimo cha miti ili kusaidia kutunza mazingira,lakini pia kuwapatia kipato kupitia biashara ya mbao


Hayo yamezungumzwa na waziri wa mali asili na utalii mhe,Ezekiel Maige wakati akizungumza na baadhi ya wananchi na viogozi mbalimbali wa serikali katika ikulu ndogo wilayani makete

Nae mbunge wa makete Dr,Binilith Mahenge amemshukuru mh,Maige kwa ujio wake na kwa ushauri alioutoa kwa wanamakete,ambapo pia alimuomba waziri kuwasaidia baadhi ya changamoto ambazo zinazoikabili hasa za wananchi na watu wa hifadhi za TANAPA


Na:Tatu  Sijaona


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo