MIRADI INAPOJENGWA CHINI YA KIWANGO

Mkuu wa wilaya ya Makete Zainab Kwikwega akikagua mradi wa josho katika kijiji cha Matenga kata ya Ikuwo wilayani Makete, mradi ambao amesema upo chini ya Kiwango

Mjumbe wa kamati ya josho akiangalia shimo lililoengwa kwa ajili ya maji machafu,ambapo mkuu wa wilaya amewaagiza kuhakikisha mkandarasi anakua kulijenga kwa kiwango ndani ya siku 30


shimo la maji taka yanayotoka kwenye josho hilo

Hapa mkuu wa wilaya (wa pili kulia)akiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Makete akitoa maagizo baada ya kutoridhishwa na ujenzi wa josho hilo



hii ni sehemu ambayo ng"ombe wanaingilia ili kwenda joshoni!

Mradi huu umegharimu shilingi milioni 26


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo