MAKETE

MAKETE
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wilayani Makete kinatarajia kufanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya mabehewani wilayani hapo

Akizungumza na Mwandishi wa mtandao huu mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Makete Shaaban Mkakanze amesema lengo la mkutano huo ni kutangaza sera za chama chao pamoja na kuzungumzia kero mbalimbali zinazowakabili wananchi


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo