TC MUSIC ARTS IPO MBIONI KUJA

Producer makini Africa Mashariki Timoth Chelula aka TC kwa hivi sasa yupo mbioni kufungua studio yake mwenyewe ambayo anatarajia kuiita TC Music Arts

Akichonga na www.eddymoblaze.blogspot.com TC amesema kuwa hiyo ni miongoni mwa kufikia ndoto zake alizoziwaza siku nyingi

Producer huyo ambaye aliwahi kupiga mzigo Studio 69 na kwa sasa anapiga mzigo katika studio moja kama producer huko jijini DSM

Habari zaidi utazipata kwa kadri atakapokuwa akinijulisha


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo