JNY UNIT YAOMBA SUPPORT YAKO

Kundi la muziki wa kizazi kipya la JNY UNIT linaomba support ya kutosha kutoka kwenu ili liweze kusonga mbele kisanii

Kundi hilo ambalo linatamba na NGoma ya Mpweke ambayo wameiachia maalum kwa ajili ya wapendanao yaani valentine day ni moja ya makundi yanayokuja kwa kasi kimuziki hapa nchini

Akiongea na mtandao huu kiongozi wa kundi hilo Deogratius Simon Mongela (King DESAMO) amesema wao wamejipanga vizuri kimuziki hivyo kuwataka mashabiki kuwapa sappot ya kutosha ikiwemo kusikiliza kazi zao wanazozifanya

Mbali na ngoma hiyo ya mpweke wanayotesa nayo sasa pia kundi hilo la JNY UNIT linatesa na wimbo mwingine wa ngoma ya Club


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo