SITARAJII KUWABOA MASHABIKI WANGU - MACHOZI


Hussein Machozi,Picha kwahisani ya Pro-24

Msanii mwamuziki wakizazi kipya hapa nchini maaruku kama bongofleva, Hussein Machozi aka Mzee wa Utaipenda amesema atazidi kutoa nyimbo kali zenye ujumbe kwajamii kwalengo la kuzidi kuwapa raha mashabiki wake

Machozi ambaye kwa sasa anatamba na kibao kikali cha JELA amesema ni kibao chenye ujumbe mzito kwajamii na ndio maana kinapendwa na jamii na pia kinafanya vizuri katika vituo mbali mbali vya redio na TV hapa nchini

Pia ameahidi kuwa kikubwa anachozingatia ni kutowaboa mashabiki wake, na dawa mojawapo ni kutoa ngoma kali



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo