Msanii huyo aliyekubali kunyoa hivi karibuni wakati akitengeneza filamu mpya ambayo alilipwa fedha nyingi za fidia kutokana na kulazimika kunyoa.
Sina aibu, nilikuwa hivyo mwanzoni kabla sijaanza kufuga nywele. Nikiamua mara nyingine huwa navaa Wigi, Nilimuuliza mume wangu akaniambia nimependeza, nilimtumia na picha kupitia simu yangu akaziona,alisema.
Akimzungumzia mumewe anayeishi Uholanzi alisema: Siyo tatizo kwetu, tunaelewana na tunapendana, ananipigia simu kama mara kumi kwa siku, kila usiku kabla sijalala lazima niongee naye.
Sina aibu, nilikuwa hivyo mwanzoni kabla sijaanza kufuga nywele. Nikiamua mara nyingine huwa navaa Wigi, Nilimuuliza mume wangu akaniambia nimependeza, nilimtumia na picha kupitia simu yangu akaziona,alisema.
Akimzungumzia mumewe anayeishi Uholanzi alisema: Siyo tatizo kwetu, tunaelewana na tunapendana, ananipigia simu kama mara kumi kwa siku, kila usiku kabla sijalala lazima niongee naye.
Sorce:Mwanaspoti