HAPPY BIRHDAY BROTHER

Huyu jamaa ni miongoni mwa washkaji zangu wa karibu sana anaitwa David Nyembe a.k.a DEEZY na anakinukisha Radio Kitulo Fm kipindi cha 970 show, na hapo jana alisherehekea miaka kadhaa ya kuzaliwa Pande za Mbeya, MUNGU akupe maisha marefu brother na hongera kwa kuadhimisha siku ya kuzaliwa, one love!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo