BREAKING NEWZZZZZZ..... WALIOSABABISHA MELI YA MV SPICE ISLANDER KUPATA AJALI WAPANDISHWA KIZIMBANI LEO


Watu tisa wanaotuhumiwa kusababisha ajali ya meli ya MV spice Islander (pichani)wamepandishwa kizimbani hi leo huko visiwani Zanzibar

Picha kwa hisani ya michuzi blog

Taarifa zaidi utazidi kuzipata kwa jinsi nitakavyozipata


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo