Tukio hilo limetokea katika wilaya ya shangari katika wilaya ya Arumeru nnje kidogo wa mji wa Arusha baada ya askari hao kuvamia nyumba moja iliyokuwa imemhifadhi mtuhumiwa huyo wa ujambazi
Mtuhumiwa huyo aliyefahamika kama Pokea Samson ametorokea kusikojulikana baada ya kufanya mauaji hayo kwa kutumia silaha aliyokuwa akiitumia
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoani Arusha Tobias Andengenye amesema baada ya tukio hilo uchunguzi umefanywa kwnye nyumba nyingine ambayo hutumiwa na kundi la jambazi huyo na wmefanikiwa kukamata risasi kadhaa
Polisi mkoani Arusha wnaendelea kumtafuta mtuhumiwa huyo ma kutamgaza donge nono kwa atakayefanikisha kukamatwa kwake