Ndugu, jamaa na marafiki wa Mtanzania, Nemes Tarimo wamekusanyika kijijini kwao huko Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kumuaga na kumhifadhi katika nyumba yake ya milele kijana huyo.
Safari ya mwisho ya Nemes aliyeuawa vitani Ukraine, hapa ndipo alipolala
By
Edmo Online
at
Saturday, January 28, 2023
Ndugu, jamaa na marafiki wa Mtanzania, Nemes Tarimo wamekusanyika kijijini kwao huko Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kumuaga na kumhifadhi katika nyumba yake ya milele kijana huyo.