skip to main |
skip to sidebar
Safari ya mwisho ya Nemes aliyeuawa vitani Ukraine, hapa ndipo alipolala
Ndugu, jamaa na marafiki wa Mtanzania, Nemes Tarimo wamekusanyika kijijini kwao huko Tukuyu wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kumuaga na kumhifadhi katika nyumba yake ya milele kijana huyo.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi