Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Bunda Mkoani Mara


Mapokezi ya Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe leo Jumapili Januari 22, 2023 BUNDA mkoani Mara.



Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Mhe. Joseph Mbilinyi (Sugu) leo Jumapili Januari 22, 2023 akizungumza na Wananchi wa Bunda mara baada ya kusimamisha Msafara wa Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe.









Picha zote kwa Mujibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo