Kaka alia kwa hisia katika harusi ya dadake, hataki aolewe

Ndoa ni Baraka na ni ndoto ya kila mtu mwenye akili timamu, 

Pasi na kujali marafiki na familia, mvulana mmoja huko Nigeria aliangua kilio siku ya harusi ya dadake mrembo 


Akiwa amevalia gauni la harusi lililo tayari kuishi milele barafu wa moyo wake, bibi harusi alicheza kwa furaha huku kaka yake akilia 


Maelezo ya video hiyo yalifichua kuwa mvulana huyo aliona ni vigumu kukubali kwamba dadake hataishi naye tena 

Huku familia ya mume inapofurahia kumpokea mtu mpya kwenye familia yao, kwa upande wa kina msichana huwa ni hisia mseto, wengi hujawa na machozi ya kumuaga mwenzao ambaye sasa anavuka na kujiunga na familia ya kina mume, akiiacha familia aliyokulia!


Ndivyo matukio yalivyokuwa katika harusi moja iliyorekodiwa na klipu kupakiwa kwenye mitandao ya kijamii.


Katika video hiyo ambayo sasa imesambazwa mno, mvulana mmoja anaonekana akidhibitisha upendo wa dhati kwa dadake ambaye ni bi harusi.


Ndoa ni Baraka na ni ndoto ya kila mtu mwenye akili razini. Huku familia ya mume inapofurahia kumpokea mtu mpya kwenye familia yao, kwa upande wa kina msichana huwa ni hisia mseto, wengi hujawa na machozi ya kumuaga mwenzao ambaye sasa anavuka na kujiunga na familia ya kina mume, akiiacha familia aliyokulia!


Ndivyo matukio yalivyokuwa katika harusi moja iliyorekodiwa na klipu kupakiwa kwenye mitandao ya kijamii.


Katika video hiyo ambayo sasa imesambazwa mno, mvulana mmoja anaonekana akidhibitisha upendo wa dhati kwa dadake ambaye ni bi harusi.



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo