Post yetu ya Mwisho kwako

Habarini za leo wasomaji wa Blog hii, tunapenda kuwataarifu kuwa hatutaweza tena kurusha habari mbalimbali kwenye blog hii kutokana na Serikali kuzuia Utoaji wa habari kupitia mitandao (ikiwemo blog) hadi upate usajili, hivyo tukikamilisha vigezo hivyo mambo yatakuwa mazuri kama mwanzo.

Na Edwin Moshi,
Mmiliki wa Edmo Blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo