Polepole: Ni wapi nimewahi kusema Katiba Inayopendekezwa ni nzuri?


Kupitia Ukurasa wa Twitter, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole ameandika kwamba "Sasa tofauti iko wapi? wakati mwingine watu wanalaumu tu bila hata kutoa hukumu ya haki. Ni wapi nimewahi kusema Katiba Inayopendekezwa ni nzuri? Tumepewa dhamana kufanya Mageuzi Makubwa ya kimfumo na kurekebisha fikra na tunaifanya kwa uadilifu mkubwa chini ya Ndg. Magufuli
https://




JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo