Kubenea: DC Hapi anatafuta sifa Kupitia Jina Langu

Mbunge wa Ubungo, Said Kubenea amesema, mkuu wa Wilaya ya Kinondoni anatafuta sifa kupitia jina lake ili apandishwe cheo, maana wakuu wa Wilaya wote wanaoonekana kuwafanyia uovu wapinzani hupandishwa cheo

Kubenea amefafanua suala la kufukuzwa kwake ofisi na mkuu wa Wilaya huyo kuwa ni uongo kwani ofisi hizo alishazihama tangia muda mrefu, na hivyo mkuu wa Wilaya hana cha kujisifu ili apandishwe cheo na Magufuli


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo