Tanzia: Mwenyekiti wa Mtwara Press Club Afariki Dunia

Hassan Simba enzi za uhai wake

Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara Hassan Simba amefariki dunia katika hospitali ya Temeke jijini Dar es salaam leo mchana Jumamosi Februari 24,2018.

Hassan Simba alikuwa anapata matibabu baada ya kuugua muda mrefu.

Mungu ailaze Mahali Pema Peponi roho ya Marehemu Hassan Simba. Amina! 

Taarifa zaidi tutakuletea 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo